
1. Ofa hii ni mpaka tarehe 31/12/2022 na ina ukoma kwa idadi ya watu wanoweza kuitumia. Ofa hii itakupa punguzo la asilimia 40% kwenye safari zako mbili za kwanza. Punguzo hili ni kwa ajili ya wasafiri wanaotumia Uber kwa mara ya kwanza nchini Tanzania.
2. Kikomo cha kiwango cha promosheni hii ni asilimia 40%, salio halitatumika kwenye safari inayofuata na haliwezi kutumiwa. Ofa hii haijumuishi bakshisi (tip), ada na tozo nyingine, pia haiwezi kujumuishwa na punguzo au ofa nyingine.
3. Iwapo akaunti yako ina zaidi ya ofa moja ambayo unaweza kutumia kwenye safari hii, basi ofa yenye thamani ya juu ndio itakayotumika.
4. Uber ina haki ya kubadilisha vigezo na masharti ya ofa hii na hata kuiondoa wakati wowote, bila kushauriana na mtu yeyote.
Get a trip when you need one
Start earning in your city
Get a trip when you need one
Start earning in your city
Related articles
Most popular
Safari, Ofa11 Oktoba 2023 / Tanzania
Shinda Vocha za KFC na PizzaHut ukitumia App ya Uber
Ofa6 Aprili 2023 / Tanzania
Pata 10% ya nauli yako ukilipia safari za Uber kwa TigoPesa!

Safari, Hadithi20 Februari 2023 / Tanzania
Heshima ni kwa pande zote mbili

Safari, Ofa9 Februari 2023 / Tanzania