
Tunaamini kila mtu hanabudi kujihisi salama awapo safarini. Hivyo tumeandaa miongozo hii unayotakiwa kuizingatia katika safari zako:
- Kuheshimu tofauti na mipaka ya watu mbali mbali wakati wote.
- Hakikisha maswali yako ni ya kiujumla na wala sio yanayohitaji mtu akupe taarifa zake binafsi
- Kumbuka kuwa baadhi ya vitendo vinaweza kutafsiriwa kimakosa kuwa ni ushawishi wa kingono hivyo yakupasa kuviepuka (kukonyeza, ushaufu, kugusa, kusifia mwonekano wa mtu, n.k.)
- Ni marufuku kushiriki ngono wakati wa safari.
- Kabla ya kumsaidia mtu, kila mara omba idhini kabla ya kufanya hivyo.
Je, unahisi uko hatarini ukiwa safarini? Gusa kwenye Kitufe cha Dharura kwenye Zana za Usalama (Ngao ya bluu) ili kuwasiliana na polisi.
Get a trip when you need one
Start earning in your city
Get a trip when you need one
Start earning in your city
Related articles
Most popular
Safari, Ofa11 Oktoba 2023 / Tanzania
Shinda Vocha za KFC na PizzaHut ukitumia App ya Uber
Ofa6 Aprili 2023 / Tanzania
Pata 10% ya nauli yako ukilipia safari za Uber kwa TigoPesa!

Safari, Hadithi20 Februari 2023 / Tanzania
Heshima ni kwa pande zote mbili

Safari, Ofa9 Februari 2023 / Tanzania