
Kwa kusheherekea uzinduzi wetu jijini Dar es Salaam, tumeungana na Diamond Platnumz ambaye atakua dereva WAKO jumamosi hii! Msanii huyu wa kimataifa atakua tiyari kukuchukua mahali popote na kukupeleza popote uendapo!! Tuamini, huta taka kukoswa!
Jinsi gani unaweza kupata ride na mwanamuziki maarufu wa mji wako? Itisha Uber na upate nafasi ya kushinda – ni rahisi!
Fungua Application yako ya Uber na kisha ingiza promo code MOVETANZANIA
Mbali na kubahatika kukutana na Diamond Platnumz, pia utajipatia tripu 6 za bure mpaka Jumapili saa SITA USIKU.
INAVYOFANYA KAZI
- Itisha safari siku ya Jumamosi June 18 kati ya saa NANE MCHANA hadi saa KUMI NA MOJA JIONI.
- Watumiaji watakao bahatika kuendeshwa na Diamond Platnumz,watatozwa gharama za kawaida za uberX.
- Mahitaji yatakua makubwa, hivyo basi usipo mpata Diamond Platnumz kwa mara ya kwanza, kamilisha tripu kisha jaribu tena muda mfupi baada ya hapo.
Bahati njema na endeleza mizunguko!
Team Uber Tanzania
Posted by oliviawaterkeyn
Category:
Get a trip when you need one
Start earning in your city
Get a trip when you need one
Start earning in your city
Related articles
Most popular
Safari, Ofa11 Oktoba 2023 / Tanzania
Shinda Vocha za KFC na PizzaHut ukitumia App ya Uber
Ofa6 Aprili 2023 / Tanzania
Pata 10% ya nauli yako ukilipia safari za Uber kwa TigoPesa!

Safari, Hadithi20 Februari 2023 / Tanzania
Heshima ni kwa pande zote mbili

Safari, Ofa9 Februari 2023 / Tanzania