Please enable Javascript
Ruka uende katika maudhui ya msingi
Kuanzia 03/08/2020, ofisi zetuzitakuwa wazi kwa huduma

Utahitajika kuweka miadi ili kutembelea na kupata huduma kwenye ofisi zetu za Greenlight. Hii ni kwa sababu tuweze kuzuia mikusanyiko ya watu wengi, kupunguza muda wako wa kusubiria huduma na ili tuweze kukupa huduma kwa usalama. Kama haujaweka miadi, hautoruhusiwa kuingia katika ofisi.

Ili kuweka miadi, tembelea sehemu ya usaidizi kwenye programu yako ya dereva mshirika.

X small

Wasiliana na Uber nchini Tanzania

Una maswali kuhusu kutumia mfumo wa Uber kuendesha gari? Tuko hapa kujibu maswali yako.

Pata maelezo zaidi

Mambo ya Msingi Kuhusu App ya Dereva

Pata maelezo kuhusu jinsi ya kupokea maombi ya usafiri kupitia App ya Uber, sehemu ya kuona mapato yako na mengine mengi.

Kituo cha Usaidizi

Pitia maswali yanayoulizwa sana na madereva.

Usaidizi wa ana kwa ana

Katika baadhi ya miji, unaweza kupata usaidizi wa ana kwa ana katika ofisi za Greenlight Hub.

Ili kuangalia upatikanaji, nenda kwenye Usaidizi kwenye App yako ya Uber Driver, kisha Weka miadi ya kukutana ana kwa ana , chagua tatizo unalohitaji usaidizi, kisha ubonyeze Panga miadi ikiwa ungependa usaidizi zaidi. Au unaweza kutembelea tovuti yetu.

Fikia nambari yetu ya usalama

Ikiwa utahofia usalama wako au kuwa katika hali ngumu inayohitaji msaada wa usalama wa dharura, tuna kampuni ya usalama inayopatikana saa 24.

Unaweza kuwasiliana na Kitengo cha Usalama kupitia +255 784 700 299 au +255 754 303 076